Latest News

Wednesday, June 25, 2014

Waziri Membe azindua filamu ya I LOVE MWANZA kwa kishindo

Ilikuwa ni furaha na burudani kwa wadau mbalimbali waliojitokeza katika uzinduzi wa filamu ya Kiswahili inayokwenda kwa jina la I LOVE MWANZA, ilipozinduliwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe, katika hotel ya JB Belmont tarehe 21/Juni/2014 kisha 22/Juni/2014 katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, fuatilia picha hizi na utakubaliana nasi kuwa mambo hayakuwa ya kitoto.




 






picha by; Tropical Media

No comments:

Post a Comment