Latest News

Wednesday, March 16, 2016

PICHA: Mapokezi ya washindi wa AMVCA jijini Dar es Salaam.

Wadau/waigizaji wa filamu Tanzania katika mapokezo ya washindi wa Tunzo za AMVCA Lulu na Richie Richie jijini Dar es Salaam wakiongozwa na Mwakifamba (Rais TAFF), Steve Nyerere (Rais Bongo Movie), Wema Sepetu pamoja na bwana Hussein KIM wa KIMTZENTERTAINMENT.




No comments:

Post a Comment