Latest News

Saturday, April 2, 2016

Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa awasili Mwanza tayari kwa semina elekezi

Na, Fahadi Siraji. KIMTZ Entertainment

Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa Ndugu Shaka H. Shaka amewasili jijini Mwanza leo hii tayari ameanza rasmi semina elekezi ya kiutendaji kwa Makatibu wa UVCCM  Wilaya na Mikoa  ya Mwanza, Simiyu, Mara, Geita na kagera.

No comments:

Post a Comment