Na, Fahadi Siraji.
Mlezi wa Jumuiya ya Wazazi mkoa wa Mwanza na MNEC (CCM) wa wilaya Nyamagana bwana Jamal Abdul Babu ameshiriki kwenye ufunguzi wa sherehe ya jumuiya ya wazazi mkoa wa Mwanza zilizo ambatana pamoja na shughuli za upandaji miti katika wilaya ya Misungwi kata ya Shilalo kijiji cha N'gobo.

No comments:
Post a Comment